Senegal: Maandamano ya kupinga kuahirishwa kwa uchaguzi wa rais yaahirishwa
Nchini Senegali, zaidi ya wiki moja baada ya uamuzi wa kuahirisha uchaguzi wa rais kutoka Februari 25 hadi Desemba 15, 2024, mzozo kati ya mamlaka na wapinzani kufuatia kuahirishwa kwa uchaguzi unaendelea. Wakati maandamano makubwa yalipangwa na mashirika ya kiraia kufanyika Februari 12 huko Dakar, gavana wa mji mkuu alipiga marufuku maandamano hayo, na kushinikiza waandaaji kuahirisha maandamano haya dhidi ya kuahirishwa kwa kura kwa dakika za mwisho na rais kuongezwa muhula.
All Categories
Recent Posts
Tags
1979
Chuck Norris
IEA: Present Oil Crisis More Severe Than Those of 1973
MAGAZINE
Peter Magyar
Texas Ranger'
the iconic star of 'Walker
the victor of Hungary's elections
Trump Cautions That US Forces Will Remain Close to Iran
US Vice President Vance is planning to go to Kenya
Venezuela's oil exports have come to a standstill due to ongoing political turmoil